• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Usafi na Mazingira

                                                                              

                                                       Kaimu Mkuu wa Idara Ya Mazingira Bi Zuhura Makota    




MAJUKUMU YA IDARA YA  MAZINGIRA

Kuandaa na Kusimamia utekelezaji wa Sera ya Mazingira ya mwaka 1997; Kusimamia utekelezaji wa sheria ya mazingira Na 20 ya  2004;

 

Kutoa ushauri kwa kamati ya mazingira ya wilaya katika masuala yanayohusu usimamizi na uendelezaji wa mazingira katika wilaya 

 

Kufanya uraghibishi wa elimu ya mazingira 

 

Kukusanya na kutunza taarifa za mazingira na matumizi ya rasilimali asilia 

 

Kuandaa, kufuatilia, kufanya mapitio na usahili wa tathmini ya athari za mazingira (approval of the environmental impact assessment). 

 

Kupitia na kuzifanyia marekebisho sheria ndogo za usimamizi wa mazingira za vijiji na halmashauri ya wilaya (by laws), na kazi za idara katika halmashauri ya wilaya zinazohusiana na mazingira 

 

Kutoa ripoti kwa Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi Kiongozi wa Mazingira, Kuratibu maadhimisho ya siku ya mazingira duniani 

 

Kufanya tathmini ya athari ya mazingira katika miradi na kuhakiki tathmini ya athari kwa mazingira 

 

Kudhibiti uharibifu na kuhifadhi mazingira ya asili, Kusimamia utawala kwa watumishi idara ya Usafi na Mazingira 

 

Kufanya ukaguzi wa Afya ya Jamii (Public health Inspect) 

 

Kufanya uhakiki na kupitisha mipango ,michoro na ramani ya ujenzi (Scrunitiny and approval of building plan) 

 

Kusimamia udhibiti wa taka ngumu na taka kimiminika (Waste management) 

 

Kusimamia usalama wa afya mahali pa makazi ( Occupational health and safety) 

 

Kukuza na kuendeleza afya na usafi (Health promotion), Kukagua usalama, ubora na usafi wa chakula (Food safety and hygiene) 

 

Kudhibiti magonjwa yanayoambukizwa na yasiyo ambukizwa (Communicable diseases and non communicable diseases control 

 

Kudhibiti uchafuzi wa Mazingira (Pollution control), Kusimamia na kudhibiti wa majanga (Disaster Management) 

 

Kufanya Chanjo (Vaccination), Kusimamia Afya na usafi mjini na vijijini (Hygiene and sanitation) 

 

Kudhibiti wadudu hatari kwa binadamu na mazingira wanaoruka na wanaotambaa (Vector and venin control) 

 

Kuzika miili iliyokufa (Disposal of the dead), Kudhibiti magonjwa ya milipuko (Diseases surveillance and response) 

 

Kufanya mafunzo juu ya sayansi ya afya ya mazingira (Conduct training related to environmental health sciences) 

 

Kuzuia na kudhibiti  ajali (Accidental prevention and control), Kudhibiti usalama na ubora wa Maji (Water safety and quality control) 

 

Kufanya tathimini ya athari ya afya ya mazingira (Carrying out environmental healthy impact assessment) 


Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA SHULE ZOTE ZA WILAYA YA RUANGWA 2021 December 17, 2020
  • TANGAZO LA KUUZA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA May 25, 2018
  • Tangazo la ujenzi wa hospitali ya Wilaya wodi ya wazazi January 21, 2019
  • matokeo ya kidato cha nne 2018 January 24, 2019
  • Ona zote

Habari mpya

  • DC awataka watendaji kukamilisha miradi ya elimu

    December 24, 2020
  • Wafugaji acheni ubabe- Mhe Ndaki

    December 22, 2020
  • RC aagiza kumalizwa kwa mgogoro wa aridhi Mbute na Nangurugai

    December 17, 2020
  • DC Afanya ukaguzi wa vyumba vya madarasa mapya

    December 16, 2020
  • Ona zote

Video

RAIS MAGUFULI AZINDUA UJENZI WA FLY OVER UBUNGO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa