• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

SDA NA LIIKE WATOA MAFUNZO YA HUDUMA YA KWANZA KWA WALIMU NA WANAFUNZI RUANGWA

Posted on: April 29th, 2025


Shirika la Sports Development Aid (SDA), kwa kushirikiana na Liike—shirika la kimataifa lenye makao yake makuu nchini Finland limeendesha mafunzo ya huduma ya kwanza kwa walimu na wanafunzi kutoka shule za sekondari 16 zilizopo katika Wilaya ya Ruangwa, leo Aprili 29, 2025


Mafunzo hayo yamefanyika katika Shule ya Sekondari Kassim Majaliwa yakilenga kuongeza maarifa na ujuzi wa msingi juu ya huduma ya kwanza kwa ajili ya kusaidia katika mazingira ya michezo, masomo na afya kwa ujumla, yakihusisha vipindi vya nadharia na vitendo, ambapo washiriki wamefundishwa namna ya kushughulikia hali za dharura kama vile kupoteza fahamu, majeraha ya viungo, kupumua kwa shida na ajali nyingine zinazoweza kutokea wakati wa shughuli za kila siku shuleni, hasa michezoni.

Aidha, Mratibu wa mafunzo hayo kutoka SDA, Ndugu Ramson Lucas, amesema kuwa ushirikiano kati ya SDA na Liike ni sehemu ya mkakati mpana wa kuwajengea uwezo vijana wa Kitanzania katika nyanja mbalimbali za kijamii, kielimu na kiafya. 

“kuwa kutoa elimu ya huduma ya kwanza kwa walimu na wanafunzi ni hatua ya msingi ya kuhakikisha shule zinakuwa maeneo salama na yenye ulinzi wa afya kwa washiriki wote.” Amesema Lucas.


Vilevile, baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wameeleza kufurahishwa na elimu waliyopata, wakisema kwamba kabla ya hapo walikosa uelewa wa kutosha kuhusu hatua sahihi za kuchukua wakati wa matukio ya dharura. Wamesema kuwa sasa wamejiamini zaidi kushughulikia hali kama kuzimia kwa mwanafunzi, kujeruhiwa au kupata mshtuko wa kiafya wakati wa michezo au vipindi vya masomo.

Kwa ujumla, mafunzo haya ni sehemu ya juhudi za mashirika ya kimataifa na wadau wa elimu katika kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tanzania katika kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia. Kwa kutoa elimu ya huduma ya kwanza, SDA na Liike wamechochea utamaduni wa kuzingatia usalama na afya shuleni, na hivyo kuongeza ufanisi katika maendeleo ya elimu na ustawi wa jamii.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 16, 2025
  • MAAFISA WAANDIKISHAJI WAPEWA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU RUANGWA

    May 14, 2025
  • CHONYA AWATAKA MAAFISA WAANDIKISHAJI RUANGWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA UADILIFU

    May 14, 2025
  • CHONYA AWATAKA MAAFISA WAANDIKISHAJI RUANGWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA UADILIFU

    May 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa